(Lifestyle)Jamii,Tamaduni ,Matukio,Maisha ya Waswahili. Wapendao Kiswahili/Waswahili,Marafiki wa Swahili na Waswahili, Na Mengineyo ya Karibu, Yahitajikayo Kujuzwa Waswahili.Karibuni sana!!!!!!!
Kanga inamvutio wake kwa mwanababa; tafadhali usiniulize kivipi. Lakini Raisi wa Afrika Kusini aliweza kuvutiwa na vazi tu la kanga na kajikuta kitandani bila kizuizi dhidhi ya ukimwi. (Ila kusahihisha kidogo: "ni kabla hajawa Raisi")
Na amini wanawake A. Kusini wanahitaji kanga, lakini hamna mfanyabiashara anaewaza kuanzisha biashara hiyo kwani cha Mswahili Bibi weee kinadharaurika kwa Mswahili mwenyewe!
Safi sana kuelewa historia hiyo ya kanga!
ReplyDeleteAsante!
kaka wewe unapenda kamga?
ReplyDeleteKanga inamvutio wake kwa mwanababa; tafadhali usiniulize kivipi. Lakini Raisi wa Afrika Kusini aliweza kuvutiwa na vazi tu la kanga na kajikuta kitandani bila kizuizi dhidhi ya ukimwi. (Ila kusahihisha kidogo: "ni kabla hajawa Raisi")
ReplyDeleteNa amini wanawake A. Kusini wanahitaji kanga, lakini hamna mfanyabiashara anaewaza kuanzisha biashara hiyo kwani cha Mswahili Bibi weee kinadharaurika kwa Mswahili mwenyewe!
Hahaahhahakaka Manyanya kweli kabisa, mwambie mama Tamara auze Kanga,watazoea tuu.
ReplyDelete