DADA ASIFIWE NGONYANI HATUNAE TENA!!.
Mpendwa /Bloga wetu da Yasinta na Familiya ya Ngonyani,Wanasikitika kutangaza kifo cha Binti/dada yao mpendwa ASIFIWE NGONYANI.Kilichotokea tarehe 23/03/2011.Nyumbani Tanzania,kwa maelezo zaidi ingia www.Ruhuwiko.blogspot.com. kwa niaba yangu na familiya yangu na wapenzi/wafuatiliaji wote wa SwahilinaWaswahili, Tunaungana pamoja na Familiya ya Ngonyani katika wakati huu mgumu na kutoa pole zetu kwenu!!!SISI TULIMPENDA LAKINI MUNGU AMEMPENDA ZAIDI!!!.

Pole sana Dada Yasinta na wanafamilia wote, yote ni mapenzi ya muumba .Yeye katangulia sisi tupo nyuma, kwani hapa duniani ni mapitio
ReplyDeleteR.I.P Asifiwe.
ReplyDeletemmm ahsante !
ReplyDeleteMija nawe ahsante!
Rachel ahsante kwa ushirikiano wako. Ubarikiwe
Pamoja dada Yasinta!
ReplyDelete