Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 12 June 2013

Kueleke Siku Ya Mtoto Wa Afrika; Wazo La Leo na Emu-Three!!!!!!



WAZO LA LEO:,Kumbuka ipo siku maalumu, inayotambulikana kama ya siku ya mtoto wa Afrika tarehe 16 June, sijui kama upo makini na siku hii, huenda kwako ni historia tu ya Mauaji ya Soweto…kwani unaishi kwenye kisiwa cha amani, huna shida…una kazi nzuri, gari..nk. Lakini kumbuka kuna hawa watoto wa mitaani, unawakumbuka?

 Je siku ya mtoto kwako inakugusaje?


Je wewe kama mzazi, unahisije ukiwaona watoto wa mitaani, au ndio huko kusema, `hawa watoto wanaomba omba tu, hawaendi shule…’ hawa kwa mateso wanayoyapata hawana tofauti na wale watoto waliouwawa kikatili,…..wewe hutumii, silaha, lakini unatumia njia nyingine, isiyoonekana, ya kutokutimiza wajibu wako kama mzazi.


Kumbuka mateso wanayopata hawa watoto, kwanza kisaikolojia pale wanapoona wenzao wakiwa kwenye sare za shule, au wakipita na magari wakiepelekwa mashuleni.  Lakini pia kuwa mateso ya afya zao, kwani wengine wanaishia majalalani kuokota yale mabaki ya vyakula mliyokula na kusaza. Huyu ni mtoto wako hata kama hukumzaa wewe, kumbukeni kila mtoto ana mzazi, na mzazi wake ni mimi na wewe.

Imeandikwa na emu-three wa Diary Yangu.



Zaidi ingia kwa ndugu wa mimi,Pia kwa Visa vya kusisimua na Mambo meengi;http://miram3.blogspot.co.uk/




Kwa Habari na mambo meengi ya watoto,wazazi/walezi nifuate huku;http://www.watotonajamii.blogspot.co.uk/



Monday 10 June 2013

Coventry Women Gala ya Tar;08/06/2013-Mgeni;Mama Balozi Joyce Kallage;[Sehemu ya 1]!!!!

Waungwana;CoventryWomen Gala ya safarihii tulikuwa na Mama Balozi JOYCE KALLAGE.
Ameongelea nini Yeye pamoja na Wageni wengine?Usihofu nitakufahamisha..kwa leo Angalia Picha Kwanza. 
[TEAM MAMA BALOZI] 

Mama na Wanamitindo

Mama na Mbunifu wetu da'Mija na da'Halima[Maonyesho ya Mavazi yote ni kazi ya mikono ya Da'Mija!!]
  Mama Balozi Joyce Kallage hayuko nyuma kwenye MITINDO!!!!!




  Nasi tuliungana na wanamitindo kuonyesha Umoja....


  Wanamitindo wakipoziiii..




 

  Da'Rose Kiondo kutoka Ubalozini alikuwa na mengi ya kutuambia..nitakujulisha..


 Wamama wa Coventry na mama Balozi Joyce








  Asante sana mama yetu kwa Ukarimu na kuungana nasi....da'Stella alituwakilisha na kumkabidhi maua kama ishara ya Upendo wetu kwake..














   Mitindo ni kazi ya Mbinifu wetu hapa Coventry..Mwanamke wa Shoka...Da'Mija!!!

 Tulicheza saaaana..

   Itaendelea.....

    "Swahili Na Waswahili" Raha Tupu.

Sunday 9 June 2013

Nawatakia J'Pili Njema yenye Matumaini;Burudani-Anne Gracious;Nitasimama,Rose Muhando-Woga wako na..!!!!!!!!!


Wapendwa;Muwena J'Pili njema yenye matumaini,baraka,Amani na Furaha.
Hatimaye,ndugu,tuombeeni Neno la BWANA Liendelee,na kutukuzwa vile vile kama ilivyo kwenu;
Neno La Leo;2Wathesalonike:3;1-18;[16]Sasa,BWANA wa Amani mwenyewe na awape amani daima kwa njia zote.BWANA awe pamoja nanyi nyote.
  
"Swahili NA Waswahi"Mbarikiwe Sana.

Friday 7 June 2013

Wakati Umewadia..Ni J'Mosi Hii;Coventry Women Gala!!!!!


 Umeshapata Ticket Yako? Umejiandaajee?Mwanamke na Wanawake Wenzio Njoo Uungane nao kwa mambo Mazuri..Ukijua Hili wengine wanajua Lile..Jitokeze,Ucheze,Ujifunze na Ufurahi na Wanawake Wengine  kutoka Miji Tofauti!!!!
       Ukumbi utakuwa wazi kuanzia saa 10:00 jioni[4:oopm]Tujitahidi kuwahi Waungwana.....

 Hakikisha umeshapata Tiketi Yako Mapema..

Mgeni Wetu atakuwa;MAMA; JOYCE KALLAGE,MKE WA BALOZI WA TANZANIA,UK.MH.PETER KALLAGE 





                                                                  
                                                              WICCO
                          [Women In Coventry Community Organisation]
                                                                 IS
                                               
                                                        PRESENTING 
                                         COVENTRY WOMEN GALA
                                                    ON: 08/06/2013          
                                                    TIME;18:00-12 MIDNIGHT
                                                                AT
                                         SPENCE COMMUNITY CLUB
                                                  ALBANY ROAD
                                                  EARLS DON 
                                                   CV5 6JR
                                                    COVENTRY 


                                    Women get together
To inspire,Motivate one another,to Advertise and Introduce your Business to Learn and Support each other in......

Accessing education and employment.
Improving marriage and family relationship,
Problems facing teenagers,Teenage sex and Pregnancy.
Awareness on signs of misuse of illegal substances on teenagers.

FASHION SHOW BY OUR COVENTRY DESIGNER MIJA
And many more.
ENTRANCE: £:10,  Including snacks,drinks will be sold at the bar.
For Advance tickets Call; [07500 87 53 94]/ [079 51 58 36 22]/ [079 50 19 87 03.]
DRESS CODE: AFRICAN ATTIRE[KITENGE OR ANY]

AND NOT FORGETTING THE BODY SHAKES!!!!!!!!MUSIC WILL BE THER!!!




KARIBUNI SANA COVENTRY!!!!

Sunday 2 June 2013

Tumalizie J'Pili hii kwa Amani na Kusifu!!!!

Wapendwa;Tumalizie J'Pili hii kwa Amani na Utukufu tumrudishie MUNGU..Ee BWANA,Kutukuza usitutukuze sisi,Bali ulitukuze jina lako,kwa ajili ya fadhili zako,kwa ajili ya uaminifu wako.

Neno La Leo;Zaburi:115:1-18. [17]Siyo wafu wamsifio BWANA,Wala wowote washukao kwenye kimya[18]Bali sisi tutamhimidi BWANA,Tangu leo na hata milele.

   "Swahili NA Waswahili"Mbarikiwe Sana.