Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Thursday 9 February 2012

Wednesday 8 February 2012

Waswahili na Maisha yao -Nyimbo za Mipasho[Rusha Roho]!!!!!!!

Waungwana vipi kuhusu nyimbo hizi za MIPASHO,[RUSHA ROHO]Zinajenga au Zinabomoa?jee nahii michezaji vipi?kwani mpaka tukukatike na kugusana?jee hizi  ni Taarabu,Chakacha au ni Mitindo gani?Wenyewe wanaema meseji Send wewe unasemaje?Duuhh SWAHILI NA WASWAHILI AU VIPI? KARIBUNI SAAANA.

Tuesday 7 February 2012

Wanawake na Mitindo ni Mswahili-Maskat Designs!!!


Leo wanawake na Mitindo ni da'Maskat,yeye ni Desings,mimi nimevutiwa sana na kazi zake.
unaweza kuangalia zaidi kazi zake kupitia http://www.zib-fashion.blogspot.com.

Jikoni Leo ni Chai ya Waswahili!pata na Burudani; Ray C-Mama Ntilie!!!!!!!


Waungwana leo tuangalie chai za Waswahili.Unapenda kufumgua kinywa/Chai na nini Asubuhi?
Kuna wanaopenda Viporo,Vitu vya kuchemsha,Vyakukaanga,Kuungwa,Uji,Supu na vingine Vingii.
Jee upo kwenye lipi? na jee hapo ulipo unavipata kwa Urahisi kama kununua vilivyopikwa au unapika mwenyewe?na jee Kifungua kinywa chako kina Faida kiafya?.
Karibuni sana Waungwana katika Yote!!!!

Sunday 5 February 2012

Nawatakia J'Pili Njema na Burudani-YUMWEMA ANGEL CHOIR

Hali ya Hewa baadhi ya Sehemu iko hivi,Isiwe sababu ya kutokwenda  kwenye Nyumba za ibada Wapendwa,Mungu awabariki sana, na Muwe na J'Pili njema yenye Baraka,Amani na Upendo. Mungu yu Mwema Maishani mwetu,wenyekuamini hivyo na Tuseme AMINA!!

Friday 3 February 2012

Dada huyu Auwawa Kikatili na Rafiki yake wa Kiume!!!!

Da'Rudo Mawere Enzi ya Uhai wake.


Dada huyu ameuwawa na aliyekuwa Rafiki yake wa Kiume/Mpenzi wake, Jason Dube,Naye mwanaume huyo baada ya kufanya mauaji  hayo  huko Ireland,akarudi U.K. naye amekutwa amejiua.Kaka Jason alikuwa akiishi hapa Coventry,Poleni sana Familia ya Dube na Mawere.Habari kamili unaweza kuipata hapa;http://www.nyasatimes.com/malawi/2012/01 au htt://www.independent,pia ukiingia face book andika Rudo Mawere pia unaweza kupata maelezo vizuri.Habari hii imetuhuzunisha sana kwani huyu mwanaume tulikuwa tunamfahamu.