Swahili na Waswahili

Swahili na Waswahili
Waswahili na Mswahili Rachel Siwa...Pamoja Daima!!

Wednesday 19 January 2011

Unapokuwa na mawazo faraja yapatikana wapi?



Yaweza patikana kwa kusoma  vitabu,  kwenye mikusanyiko,kuwapekeyako au?
Nasubiri kwako msomaji maana kila mtu ana mawazo ila kuna yanayochanganya!!!!!!!!

Tuesday 11 January 2011

Je matendo yako ya utotoni yanafanana na watoto waleo?

kuvaa nguo za kufanana,,kunywa maji kwa kikombe kimoja, kugombea kitu kama mimi nimekiwahi hiki na vingine vingi!!!!!!!!!!!

Wednesday 22 December 2010

Michezoni leo! Ni Farid mswahili wa Holland !!!!!!!!!!

Mswahili Farid  akiwachanganya wazungu!Nini kifanyike ili Tanzania tufikie malengo katika michezo?

Tuesday 14 December 2010

jikoni leo!

Sufuria inavuja,motoumezimika,kibatari hakina mafuta je tutakula leo?